Boss mkuu wa kampuni ya Mocrosoft Nchini marekanai ailiyeshika Vitabu,Mr.Bilgat akisikiliza maelezo kutoka kwa mkuu wa kituo cha utafiti cha ifakala,pindi alipotembelea kituoni hapo kuangalia Shughuli za chanjo za Malaria Zitolewazo Kituoni hapo,Wengine ni wafanya kazi wakituo hicho wakionekana wenye furaha kabisa baada ya kutembelewa na mgeni huyo
No comments:
Post a Comment